TARIME: Wazee wa Kimila, Mangariba waonya kuhusu Ukeketaji
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mkurugenzi
wa Shirika la kutetea haki za wanawake na wasichana Kivulini la Jijini Mwanza, Yassin
Ally akizungumza wakati wa semina kwa wazee wa mila ,Ngariba, viongozi wa
serikali za mitaa, jeshi la polisi, viongozi wa dini, wataalamu wa afya pamoja na
wadau mbalimbali kuhusu kupinga ukatili kwa wanawake na wasichana wilayani
Tarime.
Washiriki wakifuatilia kwa makini semina hiyo.
Semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa hotel ya Blue Sky mjini Tarime.
SOMA>>>Kampeni ya kutokomeza Ukatili Misungwi yahitimishwa kwa mafanikio
No comments: