LIVE STREAM ADS

Header Ads

Serikali yatakiwa kutoa haki sawa kwa wachimbaji madini na wafugaji

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Wakazi wa Kijiji cha Kitwai A wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameiomba serikali kuangalia namna ya kugawa maeneo ya uchimbaji madini pamoja na wafugaji ili pande zote mbili zifanye shughuli bila kuingiliana.

Wameyasema hayo baada ya Naibu Waziri wa Madini Mwl. Doto Mashaka Biteko kufanya ziara katika machimbo ya Kitwai A yanapochimbwa madini ya vito mbalimbali ikiwemo Rubi.
SOMA>>>Wachimbaji madini Simanjiro watakiwa kuwa watulivu

No comments:

Powered by Blogger.