Wamiliki wa leseni Mererani watakiwa kulipa madeni yao
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
SOMA>>>Mwekezaji Simanjiro atakiwa kutoa mikataba kwa wafanyakazi
Naibu Waziri wa Madini Mwl. Doto Mashaka
Biteko amewataka baadhi ya wamiliki wa leseni za uchimbaji madini katika machimbo
ya Mererani mkoani Manyara kulipa madeni yote wanayodaiwa na serikali kabla ya
kukimbilia katika maeneo mengine na kuomba leseni nyingine za uchimbaji.
Mwl. Biteko aliyasema hayo juzi wakati
akizungumza na wachimbaji wa madini ya vito (Ruby) katika machimbo ya Kitwai A,
wilayani Simanjiro ambapo alisema zaidi ya leseni 200 zimeombwa katika eneo
hilo na wengi wa walioomba wametoka Mererani.
SOMA>>>Mwekezaji Simanjiro atakiwa kutoa mikataba kwa wafanyakazi
No comments: